Mtanzania Aliyemtandika Bondia Kutoka Uingereza Atua Kwa Staili Hii Bungeni Ajizolea Mamilion

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BONDIA Hassan Mwakinyo amepewa zawadi ya Tsh. Milioni 7.72 baada ya kuchangiwa Sh. 20,000 na kila mbunge alipotembelea Bunge jijini Dodoma leo kufuatia ushindi aliyoupata hivi karibuni baada ya kumtwanga Bondia wa Uingereza, Sam Eggington kwa TKO .


Hayo yamejiri baada ya Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM), Aeshi Hilaly kuomba mwongozo wa kwa Kiti cha Spika na kusema; “Tumekuwa tukiwachangia sana mamisi humu ndani, leo hii tunaomba mwongozo wako angalau tumchangie Tsh. 20,000 kila mmoja, naomba mwngozo wako spika,” alisema Aeshi.


Wabunge waliitika kwa makofi mengi kisha Spika Job Ndugai alipitisha mwongozo huo mara moja kila mbunge atakatwa posho yake.




Mwakinyo alimtwanga Eggington ambaye aliwahi kuwa Bondia Namba moja wa Uingereza sekunde ya 45 ya mzunguko wa pili wa mchezo huo na kutangazwa Bingwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad