AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mganga huyo aliyejitambulisha kwa jina la Jacob Kawawa ameliambia gazeti la Nipashe kuwa anauza dawa hiyo kwa Tsh 3,000/= na vipimo vyake ni tofauti na vile vya mzee wa Samunge ambaye alikuwa anatumia kikombe.
Kawawa amesema yeye anatumia chupa ya maji ya lita moja, ambapo mpaka sasa watu wenye maradhi mbalimbali ikiwemo kisukari, kansa na magonjwa mengine wameshapona kabisa, kupitia tiba yake.
Mashuhuda walioongea na gazeti la Nipashe, wamesema kuwa Mganga huyo alianza kutoa tiba hiyo katika eneo la Feri mwezi mmoja uliopita na hakupata wateja wengi, lakini kadri siku zinavyozidi kwenda wateja wanazidi kuongezeka na wengine wakitoa ushuhuda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK