AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Majukumu atakayokuwa akiyafanya Rihanna kama Balozi ni pamoja na kutangaza mambo ya utalii, kusaidia masuala ya elimu na uwekezaji wa nchi hiyo ya Barbados ikiwa uteuzi huo ulitangazwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mia Amor Mottley siku ya September 20,2018.
Waziri Mkuu wa Barbados alisema “Rihanna ana mapenzi ya dhati na nchi ya Barbados na amejilenga zaidi kwenye uhisani hususani katika sehemu ya afya na elimu na pia ameonyesha uzalendo kwa kujitoa zaidi na kuthamini kisiwa hiki kama nyumbani”
Rihanna ambaye jina lake halisi ni “Robyn Rihanna Fenty” alipata mafanikio makubwa kwenye kiwanda cha urembo baada ya kuzindua bidhaa zake za “Fenty Beauty” mwaka 2017-2018 na huku mafanikio mengine aliyapata kwenye muziki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK