Waganga waliomponza Mobetto kwa Diamond waingia Kenya kwa kasi (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muimbaji kutoka nchini humo, @violakaruri ambaye kwa sasa anajipanga Alhamisi hii kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Leo’, amesema ukipita katika mitaa mingi ya Kenya utakutana na mabango ya waganga wa jadi kuhusu mapenzi na utajiri na utambulisho wao mkubwa wanaandika wanatoka Tanzania.

Wiki moja iliyopita mzazi mwenza wa Diamond, Hamisa Mobetto alijikuta matatani baada ya kunaswa sauti zake akiongea na mganga wa jadi ishu ya kutaka kumtuliza baba watoto wake huyo kupitia mbinu za kishirikina.

TAZAMA VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad