Wema Sepetu Amfungukia Muna "Moja Moja Yanaanza Kufichuka Kujitia Mcha Mungu Huku Unamtukana Mama yako Mzazi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada Wema sepetu ambae hapo awalia likuwa rafiki wa mwanadada muna amefunguka na kutia neno katika ukurasa wake huku akimwita  Muna kuwa ni mnafiki na tabia mbaya ya kujifanya mcha Mungu wakati anaweza mpaka kumkana na kumtukana mama yake mzazi.

Wema anasema kuwa mara nyingi sana Muna alikuwa akimtumia patrick kama njia ya suluhisho ya matatizo yake na ndio maana hata sasa mtoto huyo amefariki na mungu ameazana kumuumbua kabisa.

Kwa mujibu wa Wema ni kwamba muna na mama yake wamekuwa hawapatnani siku nyingi lakini mara zote, muna alikuwa akipatana na mama yake kupitia mtoto wake partick ambae kwa sasa ni marehemu na walikuwa wakipatanishwa na mtoto huyo na ndio maana ndugu waliumizwa na sana na kuondoka kwa mtoto huyo, hivyo kwa mujibu wa Wema , ni kwamba Muna na mama yake ni maadui wakubwa.

Wema anasema

” Moja moja yanaanza kufichuka kujitia mcha mungu wakati  nyuma ya pazia  hata mama yako mzazi una mtusi  na huna maelewano na kabisa,  na nilichosikia ni kwamba marehemu PAT ndio alikuwa kama suluhisho kila Muna alipogombana na mama yake na ndio maana hata ndugu walikuwa wakimpenda sana yule mtoto., hata Muna alikuwa akigombana na mama yake alikuwa akirudisha moyo nyuma kwa sababu ya mjukuuu wake  PAT ili  kuleta amelewano yao.

Ikumbukwe kuwa Muna na Wema waliwahi kuwa marafiki wakubwa sana hapo awali lakini walikuja na kugombana na hata kipindi cha msiba wema na mama yake walikuwa wakipinga uamuzi wa Muna na kumsapoti sana aliyekuwa akisemekana kuwa ni baba wa mtoto
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad