Zari Ni Hodari Wa Mapenzi- Diamond Platnumz Afichua Siri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesuka gumzo siku ya jana Kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuimba kipande cha wimbo chenye maneno “Zari hodari wa Mapenzi”.

Diamond ambaye alikuwa Kwenye Mahusiano na Zari kwa takribani miaka minne mpaka walivyimwagana mapema mwaka huu aameibuka na kusifia ujuzi wa mapenzi wa mama watoto wake huyo.

Diamond amesema maneno yake Kupitia kipande cha video Kilichomuonyesha akiimba wimbo mpya wa Msanii kutoka WCB Mbosso uitwao ‘Hodari’ ambapo ndani yake amemtaja Zari kama Hodari wa mapenzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad