AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kuelekea mchezo huo utakaopigwa saa 10:00, kocha wa Alliance amesema Yanga ni timu kubwa hivyo wanaheshimu ubora wake wakiwa mpaka sasa hawajapoteza mchezo hata mmoja.
"Tunaiheshimu Yanga kwenye ligi yetu bado haijapoteza mchezo hadi sasa na inaenda vizuri kwa hiyo inatupa akili ya kuingia kwa tahadhari ili tuweze kujihami na tusitengeneze makosa'', amesema Makata.
Aidha Makata amesema mbali na kujihadhari watatumia mbinu za kushambulia kwa kushtukiza pamoja na kutumia nafasi zote watakazozipata ili waweze kupata matokeo mazuri yatakayowakwamua kutoka nafasi ya 19 wakiwa na alama 6 pekee kwenye mechi 9.
Ameongeza kuwa wao wanajivunia kuwa timu ya kwanza yenye wachezaji wa Academy kupanda ligi kuu huku wakiendelea kutumia vijana wao na kadri siku zinavyokwenda wanazidi kupata uzoefu na watafanya vizur
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK