AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mamlaka Ya Udhibiti wa Hali ya Hewa (Zanzibar), safari hizo zitarejeshwa na mamlaka husika na hali ya baharini itakapotulia.
Kwa wanaotaka maelezo zaidi wawasiliane na kampuni za Azam Marine na Kilimanjaro au wafike katika ofisi zao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK