AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba ilifanya mazoezi juzi kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar wakijiandaa na mchezo wa kesho wa ligi kuu dhidi ya Stand United.
Katika mazoezi hayo yaliyosimamiwa na kocha mkuu, Mbelgiji, Patrick Aussems, alionekana akiwakazania wachezaji wake Kagere, Said Ndemla, Shiza Kichuya na Shomary Kapombe kufunga kwa kutumia mipira ya faulo sasa hapo ndipo palizua jambo.
Wakati mazoezi yakiendelea, Wawa ambaye ni raia wa Ivory Coast na Mkude walikuwa wametulia pembeni wakiangalia mazoezi hayo ndipo wakaona Kagere akishindwa kufanya kile ambacho kocha alikuwa akikihitaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK