Jonas Mkude na Pascal Wawa Wamvuruga Kagere Mazoezini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jonas Mkude na Pascal Wawa Wamvuruga Kagere Mazoezini
WACHEZAJI wa Simba, Jonas Mkude na Pascal Wawa juzi walionekana wakimvuruga mshambuliaji wa timu hiyo, Meddie Kagere wakati wa mazoezi.



Simba ilifanya mazoezi juzi kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar wakijiandaa na mchezo wa kesho wa ligi kuu dhidi ya Stand United.



Katika mazoezi hayo yaliyosimamiwa na kocha mkuu, Mbelgiji, Patrick Aussems, alionekana akiwakazania wachezaji wake Kagere, Said Ndemla, Shiza Kichuya na Shomary Kapombe kufunga kwa kutumia mipira ya faulo sasa hapo ndipo palizua jambo.


Wakati mazoezi yakiendelea, Wawa ambaye ni raia wa Ivory Coast na Mkude walikuwa wametulia pembeni wakiangalia mazoezi hayo ndipo wakaona Kagere akishindwa kufanya kile ambacho kocha alikuwa akikihitaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad