AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Image result for Joyce kiria na mumewe
Joyce Kiria na mumewe
Mrembo huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameonesha baadhi ya Stakabadhi za Ada ya watoto na vifurushi vya mchele kutoka kwa mumewe, Henry Kilewo.
Kwanza nakuomba radhi kwa kushare hii ulinikataza nisiposti… ulivyoniambia umelipa hii ela shuleni sikuamini. Tena siku uliyotuletea chakula ukanipa na ela nilichanganyikiwa machozi ya furaha pamoja na kuniomba nisiposti lakini ninafikiri ni vyema niendeleze elimu kwamba INAWEZEKANA KUBADILIKA! Dunia wakajua wewe ni baba bora sasa! Umeanza kuchukua WAJIBU WAKO Asante sana kwa kusikia kilio changu! I am emotional.
Namshukuru Mungu sana kwa hatua hii kubwa sana ya kulipa sehemu ya ada ya watoto wetu na kuwaletea chakula! We love you so much 💕 tunakuombea ufanikiwe zaidi na utukumbuke kama ivi🙏🙏🙏
Kinababa mtaniwia radhi lakini nasisitiza kwamba, hii ni awareness niliamua kufanya kwa wanaNdoa wengi kuna mengi ya kujifunza! Mabaya yangu ya kubwatabwata niachie mwenyewe maana mimi nipo kazini napigana na UKATILI WA KIJINSIA, na mazuri yangu ya kuwakumbusha wababa kuwajibika muyachukue kwa faida ya familia zetu! Na HESHIMA yenu pia.
Naimani wababa wengi sana wamejirekebisha na maisha yanaenda kwa Amani… nami nawaombea kwa dhati ya moyo wangu mfanikiwe katika kazi zenu ili mzidi kutenda mema kwa familia zenu!!! NAWAPENDA 💕💕💕💕💕
Mwanzoni mwa Mwaka huu, Joyce Kiria alitumia mitandao ya kijamii kuweka hadharani maatatizo yake na mumewe jambo ambalo lililaaniwa na baadhi ya wanaume wakieleza kuwa ni udhalilishaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK