Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatoa TAHADHARI Kwa Wanaotumia Usafiri wa Majini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Yatoa TAHADHARI Kwa Wanaotumia Usafiri wa Majini
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi nwanaotumia usafiri wa majini kufuatia kuwapo kwa upepo mkali.

TMA imewataka  watu wawe makini na mamlaka zinazoshughulika na usafiri wa majini ziwe makini kwa kuchukua tahadhari kuhakikisha hakuna maafa yanayoweza kutokea.

Upepo huo mkali utavuma kwa siku tatu kwenye Ukanda wa Pwani ya Bahari ya  Hindi na maziwa yote makuu ikiwamo Nyasa, Viktoria na Tanganyika na mikoa yote iliyopakana na maeneo hayo, ikiwamo na mikoa ya kanda ya kati.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad