AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto na Mwana FA wote wametumia kurasa zao za mtandao ya kijamii wa Twitter, kueleza mitazamo yao ambapo wote wameeleza kuwa picha iliyooneshwa na IGP Sirro haijapigwa na CCTV Kamera.
“Hawa Polisi @tanpol wanadhani kila Mtanzania ni zwazwa anaweza kudanganywa danganywa tu. Taratibu za gari kupita mpakani zinatia mashaka makubwa kauli ya IGP. Polisi na vyombo vya usalama nchini hutumia plate number za Kigeni. Ile picha ya gari sio ya CCTV. Kamanda Sirro HAPANA.“ameandika Zitto Kabwe.
Leo Jumanne IGP Sirro akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam ameionesha picha ya Gari aina ya Surf inayodaiwa kumteka Mo Dewji huku ikiwa na Plate Namba za kigeni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK