AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa sababu iliyomfanya Nay wa Mitego kuitwa BASATA ni kuhusiana na ngoma yake ya ‘Alisema’ aliyoiachia rasmi October 6 mwaka huu hii ni kutokana na mashairi yaliyopo ndani ya ngoma hiyo.
Lakini hadi sasa haijaelezwa sababu ya msingi iliyomfanya Nay wa Mitego kuitwa BASATA na pia kwa upande wa Nay Wa Mitego hajasema lolote hadi sasa kuhusiana na kuitwa kwake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK