AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika kipindi hicho Daraja hilo ndilo lilikuwa daraja pekee Dar es Salaam linalomuwezesha mtu kutoka upande mmoja wa barabara hadi upande mwingine.
Historia ya Daraja hili haiwezi kufutika kwa sababu watu wa hali ya Chini wamekuwa wakifika hapo kama sehemu ya Kiutalii, kupiga picha na wengine kupiga soga.
Pia katika historia unaambiwa Daraja la Manzese ndio lilikuwa kama Kituo kikuu cha Dar es Salaam ambapo mgeni akitokea mkoani lazima asubiri katika eneo hilo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK