AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inasemekana kuwa watu wengi wamesababishia vifo katika kisiwa hicho kutokana na mazingira yake kuwa hatarishi sana.
Moja ya wasanii wa bongo fleva shetta amefunguka na kusema kuwa kwa sababu mbudya ni sehemu inayopendwa sana na watu kwa sasa basi ni bora serikali inagalia jinsi ya kupaboresha au hata wale wamiliki wa maeneo hayo wapaangalia tena kwa kutunga sheria zitakazosaidia watumiaji na kuweka misingi bora ya maeneo hayo.
Haya yanakuja baada ya moja ya wadau wakubwa katka muziki PANCHO kupoteza maisha siku za karibuni akiwa katika kisiwa hicho na hata hivyo baadhi ya watu waliowahi kufika eneo hilo wanasema eneo hilo bado ni hatarishi sana kutokana nakusababisha vifo mara nyingi ingawa vipo ambavyo haviripotiwi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK