Siri Nzito Yafichuka Juu ya Kutekwa kwa Mo Dewji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siri Nzito Yafichuka Juu ya Kutekwa kwa Mo Dewji
Kufuatia Sakata la Kutekwa Mwkezaji wa Simba Mohammed Dewji 'MO' kuwa na maswali mengi juu ya uwepo wa dereva wake hatimaye jibu limepatikana.

Mo alitekwa na watu wasiojulikana alfajiri ya juzi Alhamisi wakati akienda kufanya mazoezi kwenye Hoteli ya Collesium iliyopo Masaki jijini Dar.

Hata hivyo kumekuwa na maswali mengi kuhusiana na Mo kwanini hakuwa na dereva wake huku wengi wao wakihoji alikuwa wapi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad