AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tiko amesema kwamba Ray C hana mamlaka ya kumhukumu mtu juu ya uwezo wake wa kuimba, isipokuwa kama mtu anajiamini basi anaweza kufanya hivyo.
"Mimi naamini kila mtu anaweza kuimba, 'as longer as' anajiamini anaweza kufanya, yeye nani 'ajudge' mtu mwingine!" amesema Tiko Hassan.
Hivi karibuni baada ya mwanamitindo maarufu bongo Hamisa Mobetto kuachia wimbo wake mpya, Ray C aliibuka na kumshutumu kuwa hajui kuimba na kusema kwamba sio lazima kila mtu aimbe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK