AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika intavyu na Over Ze Weekend, Amber Lulu aliweka wazi kuwa, huko nyuma aliteswa, kuumizwa na mara nyingine kuchezea vitasa kutokana na mapenzi, lakini alipoingia kwa Prezzo alijiona yuko peponi hivyo walipoachana, aliona kuna sababu ya kurudisha mapenzi kwake.
“Nilipata maumivu sana kwenye mapenzi, nilidhalilishwa na kuumizwa. Kuna wakati nilipigwa sana, yaani nilikuwa kama teja, lakini siyo wa kuvuta unga, bali ni wa mapenzi, lakini kwa Prezzo nilikuta tofauti. Nimeona nirudishe penzi kwa nguvu zote,” alisema Amber Lulu ambaye aliwahi kutoka kimapenzi na msanii David Genzi ‘Young D’.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK