AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Jumanne Novemba 14, kuhusu maendeleo ya mradi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kwa upande wa wataalamu 189 ni Watanzania na 258 ni wageni.
“Ajira 626 za Watanzania wasio na ujuzi na 19 za wenye ujuzi zimepatikana kupitia kampuni za wazawa wanaoshiriki moja kwa moja kwenye mradi huu, hivyo tunafanya vizuri sana,” amesema Kadogosa.
Amesema maendeleo ya ujenzi huo kwa kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro yamefikia asilimia 34.
Kipande hicho chenye urefu wa kilomita 300 kilianza kujengwa Mei 2, mwaka jana na kinatarajiwa kukamilika Novemba 2, mwakani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK