AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeelezwa watekaji walipanga nyumba hiyo kwa dola 1500, walikuwa ni raia wa Afrika Kusini na kwamba Oktoba 20 baada ya kumuachia na kumtelekeza katika viwanja vya Gymkhana, vilivyopo maeneo ya Posta waliondoka katika jiji la dar kupitia kwa kutumia usafairi wa mabasi ya abiria.
Dereva Taksi aitwae TWALIB MUSSA aliyetawafutia nyumba na kuwatembeza mjini, amekamatwa na ameongea mbele ya wanahabari kutoa ushuhuda wake kuhusu kutekwa kwa Mo Dewji
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HUYO DEREVA HAKUTAKA BILLIONI MOJA ILIYOTANGAZWA NA FAMILIA YA MO?
ReplyDelete