AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo pamoja na msanii wa Bongo Movie Single Mtambalike alimaarufu Richi waliteuliwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harison Mwakyembe kuwa miongoni mwa wajumbe watano walioteuliwa.
FA amefika BASATA mapema asubuhi ya leo siku ya Jumatano huku kukiwa na sakata la kufungiwa kwa wimbo wa WCB unaofahamikwa kwa jina la Mwanza uliyoimbwa na Rayvanny kwa kushirikiana na DiamondPlatnumz wakati sababu kubwa zikielezwa kuwa ni kutokuwa na maadili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK