AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukrasa wake wa instagram Manara amesema hali ya Yanga ni taabani na kumshawishi kuingia kwenye mpira ili awaokoe watani wao wa jadi.
''Sasa Shekh Rostam kwa kuwa umedeclere leo mbele ya bwana mkubwa kuwa ww ni Yanga na hali zao ni taabani sana kiasi cha kumlilia mtu aendelee kuwaongoza!! Hebu njoo huku kwenye mpira basi, au ww Yanga jina tu !
Na walivyo na njaa ukiingia tu unaanza kulipa madeni kama yote na mishahara!!
Nategemea povu la kufa mtu toka Mbuteni''
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK