Haji Manara Amuangukia Rostam Aziz Kuisaidia Yanga "Yanga Hali Zao ni Taabani Sana Njoo Kwenye Mpira Au Wewe Yanga Jina"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara Amuangukia Rostam Aziz Kuisaidia Yanga "Yanga Hali Zao ni Taabani Sana Njoo Kwenye Mpira Au Wewe  Yanga Jina"
Muda Mchache baada ya Rostam Azizi kusema kuwa yeye ni shabiki wa timu ya yanga wakati alipoulizwa na Rais John Pombe Magufuli msemaji wa timu ya simba Haji Manara amemuomba Rostam kuwasaidia Yanga kwani wapo kwenye wakati mgumu wa kifedha.

Kupitia ukrasa wake wa instagram Manara  amesema hali ya Yanga ni taabani  na kumshawishi kuingia kwenye mpira ili awaokoe watani wao wa jadi.

''Sasa Shekh Rostam kwa kuwa umedeclere leo mbele ya bwana mkubwa kuwa ww ni Yanga na hali zao ni taabani sana kiasi cha kumlilia mtu aendelee kuwaongoza!! Hebu njoo huku kwenye mpira basi, au ww Yanga jina tu !
Na walivyo na njaa ukiingia tu unaanza kulipa madeni kama yote na mishahara!!
Nategemea povu la kufa mtu toka Mbuteni''
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad