AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KMC walitangaza kuvunja mkataba na Abdulhalim Humud kwa sababu mbalimbali lakini mbele ya waandishi wa habari walizitaja sababu mbili ambazo ni utovu wa nidhamu na shutuma za kumtaka mpenzi wa mchezaji mwenzake (Room mate)
Humud leo amejibu tuhuma hizo na kusema kuwa sio za kweli na zinalenga kumchafua katika soka, Humud ameeleza kuwa yeye ndio aliomba aachwe kutokana na kukosa nafasi ya kucheza, Humud amefika mbali zaidi na kusema kuwa kukosa kwake kucheza ni kutokana na kukataa kugawana parcent za mshahara na dau la usajili wake na baadhi ya watu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK