Humud Kajibu Tuhuma za Kudaiwa Kutembea na Wake wa Wachezaji Wenzake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Humud Kajibu Tuhuma za Kudaiwa Kutembea na Wake wa Wachezaji Wenzake
Baada ya Club ya KMC ya Kinondoni kutoa taarifa za kuvunja mkataba na kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania na club za Simba na Azam FC Abdulahim Humud, leo mchezaji huyo ametoa tamko na ukweli wake kuhusiana na tuhuma hizo.

KMC walitangaza kuvunja mkataba na Abdulhalim Humud kwa sababu mbalimbali lakini mbele ya waandishi wa habari walizitaja sababu mbili ambazo ni utovu wa nidhamu na shutuma za kumtaka mpenzi wa mchezaji mwenzake (Room mate)

Humud leo amejibu tuhuma hizo na kusema kuwa sio za kweli na zinalenga kumchafua katika soka, Humud ameeleza kuwa yeye ndio aliomba aachwe kutokana na kukosa nafasi ya kucheza, Humud amefika mbali zaidi na kusema kuwa kukosa kwake kucheza ni kutokana na kukataa kugawana parcent za mshahara na dau la usajili wake na baadhi ya watu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad