Idara ya Uhamiaji yakiri Kuwakamata Wanaharakati wa Kulinda Wanahabari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Idara ya Uhamiaji yakiri kuwakamata Wanaharakati wa Kamati Maalum ya Kuwalinda Wanahabari Duniani(CPJ),b Angela Quintal na Muthoki Mumo

Wamesema kuwa wawili hao walikiuka masharti ya viza pamoja na kufanya mikutano na Waandishi wa Habari bbadala ya kufanya matembezi

Aidha, mapema leo Idara ya Uhamiaji kupitia kwa Msemaji wake, Ally Mtanda ilikana kuhusika na taarifa zilizotoka zikidai imewakamata Wanaharakati hao

Awali walidai kuwa taarifa za kukamatwa kwao na wao walizisikia na kuona kupitia Mitandao ya Kijamii

JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad