AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idara ya Uhamiaji imesema imerudisha hati za kusafiria za wafanyakazi wa CPJ, Angela Quintal na Muthoki Mumo
Walizishikilia kwa muda baada ya kuwaachia wanahabari hao
Idara ya Uhamiaji imesema waandishi wa habari waliokamatwa na Idara ya Uhamiaji walikiuka Sheria za Uhamiaji, imesema kibali chao cha kuingia nchini kilikuwa cha matembezi lakini wao walitaka kutumia kwa matumizi mengine kwa kufanya mkutano na wanahabari.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK