Idara ya Uhamiaji Yarudisha Hati za Kusafiria za Wanaharaka wa Kutetea Waandishi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Idara ya Uhamiaji imesema imerudisha hati za kusafiria za wafanyakazi wa CPJ, Angela Quintal na Muthoki Mumo ‬

Walizishikilia kwa muda baada ya kuwaachia wanahabari hao‬

Idara ya Uhamiaji imesema waandishi wa habari waliokamatwa na Idara ya Uhamiaji walikiuka Sheria za Uhamiaji, imesema kibali chao cha kuingia nchini kilikuwa cha matembezi lakini wao walitaka kutumia kwa matumizi mengine kwa kufanya mkutano na wanahabari.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad