AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kumekuwa na tetesi kuwa Dogo Janja na Irene Uwoya hawako tena katika mahusiano ya kimapenzi na kuripotiwa kuwa kila mtu anaishi kivyake na wameamua kuendelea na maisha yao ya kawaida.
Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika “Baba Mungu nisamehe kwasababu ninaenda kuiba mwanaume wa mtu, kwasababu nilipoibiwa wangu hukusema chochote”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK