Irene Uwoya “Mungu Nisamehe Naenda Kuiba Mwanaume wa Mtu”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Irene Uwoya “Mungu nisamehe naenda kuiba mwanaume wa mtu”
Muigizaji Irene Uwoya amerudi tena kwenye headlines leo November 13,2018 hii ni baada ya caption yake ya instagram na kusema kuwa anamuomba Mungu msamaha kuwa anaenda kuiba mwanaume wa mtu kwasababu alivyoibiwa wake Mungu hakusema chochote.

Kumekuwa na tetesi kuwa Dogo Janja na Irene Uwoya hawako tena katika mahusiano ya kimapenzi na kuripotiwa kuwa kila mtu anaishi kivyake na wameamua kuendelea na maisha yao ya kawaida.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika “Baba Mungu nisamehe kwasababu ninaenda kuiba mwanaume wa mtu, kwasababu nilipoibiwa wangu hukusema chochote”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad