AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiatu hicho ambacho ni brandi ya Kanye West linalotajwa kugharimu dola 645 za Kimarekani (takribani shilingi milioni 1.5) wamekuwa wakionekana wamelivaa mastaa wakubwa duniani kama Rihanna na Kim Kardashian hivyo kuvaliwa na Zari kumewashtua wengi.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Maimartha amesema kuwa bei ya buti hilo limemshtua lakini anaamini Zari ni mwanamke wa shoka hivyo Ana uwezo wa kumiliki kiatu hiko:
Zari si mwanamke wa mchezo mchezo, kwa hili buti lake amewakalisha wengi, mara nyingi akiweka mavazi na bei zake watu husema ni feki lakini kwa kiatu hiki naamini bei yake ni ya ukweli.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK