AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mange Kamchana hivi kupitia ukurasa wake wa Instagram:
"From mangekimambi_@iamrubyafrica mdogo wangu you are super talented ila ushauri punguza jeuri kidogo basi maana naambiwa we ni mkorofiiii hata dadako sikufikiiii kwa ukorofi na ujeuri.....Acha basi basi mdogo wangu maana talent yako ni kubwa mnooo ulipo sasa ni chini sana compared na talent yako. Embu Ona hii nyimbo ni nzuri balaaaaa, angetoka nayo Vanessa Mdee au Nandi etc pangechimbikaaaa, ila wewe watu wako kimya hawaipromote... We mwenyewe unajua industry ya bongo bila kukiss-ass utaumia. Hata wenzio kina Jide walisubiri washajenga majumba ndo wakaanza jeuri. Au kina Diamond wamefika mbali kwanza ndo wamekuwa jeuri. We umeanza mapema mno....Yani mnaambiwa ukorofi wa Ruby haujapata tokea tangu dunia iumbwe
Ila vimtu vyembamba vikorofi jamani, yani Ruby unaambiwa hata studio akienda kurekodi hamalizi session bila kutibuana na producer
Alafu kama hujapenda ushauri wangu mlaumu huyu mdogo wangu @lady_danger07 ndo kaniomba sana nikuposti na nikwambie. She loves you. Yani sikujua hata kama umetoa nyimbo ye ndo kaniambia. Yani nimedata nayo, nimeiweka on repeat, good job @iamrubyafrica .
I’m your number 1 fan!
PS: Alafu iweke nyimbo itunes tukusapoti." Mange
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK