Mapenzi yamekua Rahisi Sana Ndo Maana Ndoa Hamna Siku Hizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Eeh ndo hivyo, akina dada wengi wanajirahihisha sana wala hawaoni aibu kuzungusha kwa vijana wa mtaani na maofisini.Zamani nasikia msichana unaweza ukafukuzia miaka mi 2 na kuendelea nowdays ukitoka nae tu appointment chupa ya pili ikikolea kichwani akili yote inakimbilia chini kazi kwako tu kuangusha kwa ubua

Kingine material things, watu wengi wako kimaslahi ndo maana anaweza easily aka confuse mapenzi na pesa hii ni kutokana na economic liberalisation sijui? Utaona mdada ana mpenzi wake atakuambia i love my guy blah blah nyingi lakini sasa kama huyo Guy hawezi kumnunulia Iphone 7 wala hawezi ku offord outing za zanzibar weekend, we muambie tu twende Zanzibar this week lazima lovely Guy atoswe na lazima ujilie tu huko.

Mapenzi yakishakua tu biashara basi tambua kuwa soko lake litatawaliwa na demand and supply kwa kuwa kuna wadada wengi mjini supply ni kubwa lakini wanalazimika kushusha bei, utu tena katika mapenzi taratibu unapotea hapa ni chapa tu ilale. Kwanini wanaume waweke ndani wakati kinapatikana tu kirahisi? Na hata hiki kilichokua ndani kutokana na ushindani wa soko kinaweza kikachukuliwa?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad