AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbabane Swallows jana walifanya mazoezi katika Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuweza kuikabili Simba walitumia basi la Azam FC ambalo liliwapeleka na kuwarudisha.
Uongozi wa Azam FC haujazungumzia jambo hilo ambalo huwa ni nadra sana kuweza kufanyika kwa nchi nyingine hasa timu zetu zinapokwenda kucheza huko.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK