AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uhamiaji mkoani Mara imekamata Wahamiaji haramu 8 akiwemo Mwanamke kutoka Kenya aliyekuwa akifanya shughuli za uganga wa kienyeji na kuhubiri injili
-
Mwanamke huyo, Wego Carolina Anyango(54) aliyekuwa akiishi Wilayani Bunda wataje wake wakubwa walikuwa ni wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu
-
Afisa Uhamiaji mkoani humo, Frederick Kiondo amesema Wahamiaji wengine 7 waliokamatwa ni raia kutoka nchini Ethiopia
-
Raia hao wa Ethiopia ni Shifaru Belu(25), Damec Abain(23), Danlyi Kifile(23), Dageka Abara(27), Yisk Shobeso(20), Teshade Abirham(22) na Bekele Sayoko(43)
-
Walikamatwa wiki hii wakiwa wamefichwa vichakani katika kijiji cha Kirumi wilayani Butiama ili baadaye wakachukuliwe na kusafirishwa kwenda jijini Mwanza
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK