Niko Njia Panda..Mchumba Wangu Ana Maumbile ya Siri Makubwa sana....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimepata Mchumba japo simpendi sana anataka kunioa.tatizo lake ana uume mkubwa kila tukifanya tendo naumia sana.

Nimejaribu kwa jamaa mwingine mwenye ya kawaidanaona siumii naenjoy sana. Huyu anaenifurahisha kitandani sijui kama ni muoaji au ananichezea tu ila huyu mwenye sehemu kubwa hata nyumbani ameshaenda na wanampenda sana wazazi.

Nimechanganyikiwa sijui nifanyeje japo ana hela na maisha mazuri ila tatizo tu ni maumivu nayopata Naombeni ushauri maana kuolewa nataka ila maumivu sitaki

By Joyce
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Pole sana mama
    Mimi nafikiri hapo make chini na mweleze unavyojisikia baada ya hapo msikilize yeye atachukuliaje kama anakujali mnaweza kwenda kumwona daktari mpate ushauri jamaa atapewa RINGI kama ni upana hiyo haina shida maana maumbile ya kike yanatanuka na kuendana na maumbile ya mwanamme,, kama ni urefu mtapewa Ringi ni hayo tu ila usichepuke

    ReplyDelete
  2. Poleeee saana mrembo daahh lakin nikushauriii tuu cha msing hapo nyinyi kama wapendanao ni muhimu mkae chini wawili mjadili kuhusu unavojiskia bila shaka kama anakupendaa atakusapotii kwa ushaur mzurii...

    ReplyDelete
  3. Mdada usikimbiee mboo teteteteteteteeee nacheka sana lkn mpe mmeo akutombe utaizoea tu. Kwani ni kubwa nchi ngap? My

    ReplyDelete
  4. Mdada usikimbiee mboo teteteteteteteeee nacheka sana lkn mpe mmeo akutombe utaizoea tu. Kwani ni kubwa nchi ngap? My

    ReplyDelete
  5. Poleeee saana mrembo daahh lakin nikushauriii tuu cha msing hapo nyinyi kama wapendanao ni muhimu mkae chini wawili mjadili kuhusu unavojiskia bila shaka kama anakupendaa atakusapotii kwa ushaur mzurii...

    ReplyDelete

Top Post Ad