AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wiki iliyopita katika ukurasa wake wa snapchat aliweka picha ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu na kuweka emoji za mapezi na picha hiyo kusambaa sana katika mitandao ya kijamii.
Leo tena mwanadada huyo ameweka picha nyingine akiwa amebebwa na mwanaume kifuani kwake huku akindika kuwa kwa sasa hivi anadekezwa na wala sio kugombezwa.
Hamisa aliwahi kuwa katika mapenzi ya siri ya msnii diamond platinumz, mapenzi amayo hata baada ya kujulikana yalimletea matatizo na kumfanya kupata misuko suko huku tayari akiwa na mtoto wa msanii huyo.
Hamisa aliwah kukiri hivi karibuni kuwa kuachana na Diamond kummfanya kuwa huru na kupata mafanikio Pia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK