AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki Rayvanny amefika kwenye ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) baada ya kufungiwa kwa wimbo ‘Mwanza’ kwa madai wimbo huo hauendani na maadili ya Kitanzania na kuojiwa kwa masaa mawili ambapo mameneja wawili wa WCB wameonekana kuongeza nguvu kwa msanii huyo kwenye kikao hicho ambacho kimeonekana kuwa kizito.
Mameneja ambao walionekana kufika katika ofisi hizo za basata ni Babu Tale pamoja na Mkubwa Fela ambao walifika kwa kuchelewa ikiwa tayari kikao kilishaanza ambapo walifika nao kushiriki kikao hicho lakini baada ya muda mameneja hao walitoka na kujadiriana kwa muda mrefu.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK