AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Steve Nyerere anasema kuwa amekuwa na maisa ya wasiwasi na kuwa kama yatima kwa sababu kuna watu wamekuwa wakija mpaka nyumbani wakimtafauta na hata kumtumia meseji za vitisho katika simu yake.
Steve Nyerere anasema kuwa amekuwa na maisha ya wasiwasi na wala hajui kesho yake lakini kitu kikubwa amekuwa akiwaza sana juu ya familia yake tena hasa watoto wake ambao bado wamekuwa wakimuhitaji sana.
Steve anasema kuwa amekuwa akiipenda sana Tanzania na anachoamini kuwa hata hao wanaofanya hivyo wanamjengea ujasiri wa kujiamini na kupambana pia.
Steve amekuwa moja ya msanii anaekumbana na upinzani hata kutoka kwa wasanii wenzake mara nyingi kutokana na sababu mbalimbali na hata kufikia hatau ya kuwa wakirushiana maneno katika mitandao ya kijamii.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK