Vanesa Mdee Ampa Somo Ruby "Kula na Kipofu na Jifunze Kukaa Kimya"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vanesa Mdee Ampa Somo Ruby "Kula na Kipofu na Jifunze Kukaa Kimya"
Msabii wa muziki wa Bongo fleva Vanessa Mdee maarufu Kama Vee Money ameibuka na kumtaka Msanii mwenzake Ruby kujishusha kwa watu na kupunguza kiburi.

Kwa muda mrefu kumekuwa na tuhuma dhidi ya Ruby kuwa ni mgumu kufanya naye kazi kwani Ana kiburi kupitiliza kwaiyo inakuwa ngumu kwa wasanii wenzake na wadau kufanya naye kazi.

Siku ya jana Mange Kimambi alimchana Ruby kuhusu taarifa za kuwa mjeuri na kiburi mbele ya watu wanaomsaidia na kudai Ana kipaji sana lakini hafanikiwi kwa sababu watu wengi hawataki kufanya naye kazi kwa ajili ya kiburi chake.

Vanessa Mdee naye ameibuka na kumpa ushauri Ruby na kumtaka ajishushe anapokuwa na watu ili azidi kufanikiwa zaidi.

Kupitia Instagram, Vanessa Mdee amemuandikia maneno haya Ruby:

Leo nimekutana na Ruby na tumeongea sana kuhusu hii ishu yake, Nakupenda sana Ruby tupige kazi mama kula na kipofu, kuna muda mwingine jifunze kukaa kimya halafu acha muziki wako uongee zaidi fanya kwa manufaa yako na Mtoto wako”.

Ruby anatarajia kujifungua Mtoto Wake wa kwanza muda  wowote kuanzia sasa kwani hapo alipo ana  ujauzito wa miezi kadhaa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad