AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbali na adhabu hiyo pia wanatakiwa kulipa faini ya shilingi Milioni 2 kila mmoja kwa kukaidi maamuzi ya Serikali na TFF yanayohusiana na maagizo ya kufanyika Uchaguzi wa kujaza nafasi ambazo ziko wazi ndani ya klabu ya Yanga.
Hivi karibuni Serikali na TFF ilitoa maagizo kwa Yanga kufanya uchaguzi wa kuziba nafasi zilizo wazi ikiwa ni pamoja na ya Mwenyekiti Yusuphu Manji aliyejiuzulu zoezi ambalo limekuwa likisuasua kutokana na baadhi ya viongozi kutambua uwepo wa Mwenyekiti wao aliyejiuzulu hali inayoleta mgawanyiko.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK