Yanga Yamtangaza Kaimu Mwenyekiti Wake Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga Yamtangaza Kaimu Mwenyekiti Wake Mpya
Kamati ya utendaji ya klabu ya Yanga imemteua Thobias Lingalangala kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu hadi uchaguzi wa kujaza nafasi utakapofanyika January 13 2019

Lingalangala amesema uchaguzi utafanyika kama ulivyotangazwa na kamati ya uchaguzi ya TFF na fomu zimeanza kutolewa rasmi leo ofisi za TFF na klabuni.

Gharama za fomu nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti ni laki 2 na wajumbe ni laki 1.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad