AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Gazeti la New Straits Times (NST) la nchini Malaysia, Dike alikamatwa Mei 3, 2017 na baadaye kupandishwa kizimbani ambapo baada ya kesi yake kunguruma kwa zaidi ya mwaka mmoja, amekutwa na hatia na kuhukumiwa adhabu ya kifo.
“Baada ya kupitia hoja zote za upande wa mashtaka na upande wa utetezi, mahakama imebaini pasipo na shaka kwamba mtuhumiwa alifanya kitendo hicho na kumkuta na hatia hivyo namhukumu adhabu ya kifo kwa mujibu wa sheria,” Jaji Datuk Azman Abdullah aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, alisema Ijumaa ya Novemba 30, 2018 wakati akisoma hukumu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK