Bad News: Mwanafunzi Mmoja Afariki na Watatu Kujeruhiwa Baada ya Kuangukiwa na Ukuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ajali hii ya kuanguka kwa ukuta imetokea katika Shule ya Msingi ya Kijichi ambapo wanafunzi 3 waliojeruhiwa wamelazwa hospitali ya Temeke kwa ajili ya matibabu

Imefahamika kuwa waliojeruhiwa ni Wanafunzi wa Shule ya Msingi Bwawani na Shule ya Msingi Kijichi

Tukio hili limetokea mapema asubuhi ya leo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad