Basata Wampongeza Daimond kwa Kujitolea Ujenzi was Shule Sumbawanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Basata Wampongeza Daimond kwa Kujitolea Ujenzi was Shule Sumbawanga
Baraza la sanaa Taifa (BASATA) limechukua uamuzi wa kumpongeza msanii wa muziki nchini Tanzania Naseeb Abduly alimaarufa Diamond Platnumz kwa kuonyesha moyo wake wa kujitolea. Baraza hilo limetumia ukurasa wake wa Instagram kuandika ujumbe kwa msanii Diamond na kuchukua nafasi hiyo kuwaomba wasanii wengine kuiga mfano wa Diamond kuweza kuwa msaada katika jamii inayowazunguka.



Hatua hii imekuja baada ya akaunti ya Ikulu Mawasiliano kumpogeza msanii huo kwa kuamua kujitolea kujenga shule ambayo ilipewa jina lake la Diamond Platnumz Shule ya Msingi.

Ujumbe wa Basanta ni huu hapa kwa Diamond:-

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad