Beyonce, Jay Z, Ed Sheeran na Tiwa Savage watikisa Afrika Kusini kwenye tamasha la Global Citizen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Beyonce, Jay Z, Ed Sheeran na Tiwa Savage watikisa Afrika Kusini kwenye tamasha la Global Citizen
Siku ya jana Novemba 2 nchini Afrika Kusini kulikuwa na tamasha kubwa la burudani la Global Citizen, ambalo liliwakutanisha mastaa wakubwa duniani akiwemo Jay Z, Pharrel Williams, Beyonce, Usher na Ed Sheeran.



Beyonce na Jay Z walipanda wote jukwaani na walitumbuiza kwa takribani dakika 20, wengine walioamsha popo ni Pharrel Williams na Usher.

Maelfu ya watu walikusanyika Jumapili kwenye tamasha huko Johannesburg la kuenzi maisha ya Nelson Mandela nchini Afrika kusini.

Tamasha hilo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini, Nelson Mandela na limefanyika jijini Johannesburg katika uwanja wa FNB.

Pia tamasha hilo limelenga kuelezea mapambano dhidi ya umaskini, ukosefu wa usawa wa kijinsia na njaa ambayo Nelson Mandela aliyapigania enzi za uhai wao.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad