AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beyonce na Jay Z walipanda wote jukwaani na walitumbuiza kwa takribani dakika 20, wengine walioamsha popo ni Pharrel Williams na Usher.
Maelfu ya watu walikusanyika Jumapili kwenye tamasha huko Johannesburg la kuenzi maisha ya Nelson Mandela nchini Afrika kusini.
Tamasha hilo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika kusini, Nelson Mandela na limefanyika jijini Johannesburg katika uwanja wa FNB.
Pia tamasha hilo limelenga kuelezea mapambano dhidi ya umaskini, ukosefu wa usawa wa kijinsia na njaa ambayo Nelson Mandela aliyapigania enzi za uhai wao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK