Bomu la kurushwa kwa mkono laua wanafunzi wawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanafunzi wawili wafariki  na wengine 6 wajeruhiwa  baada ya kulipukiwa na bomu la kurushwa kwa mkono Amhara nchini Ethiopia. 

Wanafunzi wawili wafariki  na wengine 6 wajeruhiwa  baada ya kulipukiwa na bomu la kurushwa  kwa mkono Amhara nchini Ethiopia eneo la Gondar. Tukio hilo limefahamishwa kutokea baada  ya wanafunzi hao kuchezea bomu hilo bila ya kufahamu ni kipi kinaweza kutokea. 

Wanafunzi wawili wamefariki katika eneo la tukio na wengine sita wamejeruhiwa na kupelekwa hospitali kupatiwa matibabu. 

Enyewe Zewdie,  msemaji wa  jeshi la Polisi Amhara amewaambia waandishi wa habari kuwa  uchunguzi umeanzishwa ili kutambua ni vipi bomu hilo la kurushwa kwa kutumia mikono lilikuwa karibu na eneo la shule ambapo kunapatikana watoto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad