Darasa Ajitokeza Baada ya Kimya cha Muda Mrefu, Baadhi ya Mastaa Wafurahishwa na ujio wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa kizazi kipya, ambaye pia alitamba na kibao cha ‘Maisha na muziki Darasa ameonekana baada ya kimya cha muda mrefu. Msanii huyo ambaye alitamba na kibao cha ‘Maisha na muziki’ ameamua kurudi kivingine baada ya kufuta kila kitu kilichokuwepo kwenye akaunti yake ya Instagram na kupost clip moja tu ikionyesha akishuka kwenye gari la zima moto huku akisalimiana na wahudumu wa gari hilo.


Watu wengi hasa mashabiki zake waliamini msanii huyu ndio basi tena kwenye tasnia ya muziki baada ya kimya cha muda mrefu hadi kufikia hatu watu wengine kusema kuwa msanii huyo anajihusisha na madawa ya kulevya.

Kupitia Post hiyo Darasa ameandika hiki:-


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad