Diamond Platnumz: Nataka Kuoa, imetosha....Nimefanya vitu vingi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz amefunguka kuhusu mipango yake ya kuoa.

Muimbaji huyo akizungumza na Wasafi TV amesema ana kila sababu ya kuoa kwa sasa kwani ameshafanya mengi.

"Nataka kuoa sana mwaka huu, nina kila sababu ya kuoa, imetosha nimefanya vitu vingi sana, yaani nimefanya vitu vingi," amesema Diamond.

Msikilize Hapo chini

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad