Gigy Money Afunguka "Mimi Kwetu ndio Tajiri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki, Gigy Money amesema kuwa ana matarajio mengi katika maisha yake kama kufungua sehemu ya chakula na salon.

Gigy akizungumza na Dizzim Online amesema kuwa kwao akiingia yeye ndio tajiri , lakini hawajui kama yeye ana majukumu gani ikiwa ni pamoja na kumlea mtoto wake Myra.

"Mungu akitarajia nina matarajio mengi kiukweli kufungua sehemu ya chakula, kufungua saloon ni pesa ndio ninayo itafuta, pesa sio ngumu ila nina majukumu mengi mimi kwetu nikiingia ndio tajiri sijui unaelewa lakini wao hawajui mimi nina majukumu gani na na take responsibility zipi kwa mwanangu," alisema Gigy.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad