AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbard Mashauri ameridhia taarifa ya kutofika mahakama kwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ambao wako nchini Burundi wakishiriki michuano ya mabunge ya Afrika Mashariki.
Hakimu mkazi huyo na upande wa mashtaka wamesema hawana pingamizi juu ya uwepo wa taarifa za uzuru huo kutokana na kupokea nakala za barua za ruhusa kutokana Bungeni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK