Kimnana wa Diamond Adakwa Live na Otile Wakiwa Kwenye Mahaba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada ambae alisifika na kuta umaarufu wa muda mfui sana hao nyakati za nyuma  kimnana ambae alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Diamond platinum anasemekana kuwa katika penzi zito na mwanakaka kutoka kenya Otile brown ambae na yeye pia ametoka katika kiumizwa kichwa baada ya kuachwa na mpenzi wake.

Wawili hao wanasemwa kuoneka apamona baadhi ya maeneo huku Otile akiweka baadhi ya pichakatika mitandao za mwanadada huyo.ikumbukwe kuwa otile alikuwa na mahusiano na mtu maarufu sana uganda, vera sidika na hata kim alikuwa na mahusiano na mtu maarufu sana Diamond  platinum, Otile na kim wote kwa sasa wamekuwa wakiugulia mauivu ya mapenzi.

Hata hivyo , msanii harmonize pia alimtuia ujumbe wa kum-miss kimnana , ujumbe unaomtaka kurudi huko alipokuwa huku ikisaidkiwa kuwa ni kweli mwanadada huyo atakuwa nje ya tanzania na mpeniz wake huyo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad