Kisima Cha Gesi Mtwara Hatarini Kumezwa na Bahari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hii ni kutokana na kina cha bahari ya Hindi katika eneo la Mnazi Bay, Msimbati mkoani Mtwara kuendelea kumomonyoka siku hadi siku kuelekea nchi kavu

Naibu Mkurugenzi Kampuni ya Maurel & Prom Tanzania inayohusika na kuchimba gesi, Elias Kilembe amemueleza hayo Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani jana alipotembelea visima hivyo

Kilembe amesema siku hadi siku bahari inasogea nchi kavu kuelekea kilipo moja ya kisima cha gesi na mitambo hali inayowapa wasiwasi

Dkt. Kalemani amesema hali halisi inaonekana na hakuna haja ya utafiti, bali kinachotakiwa kufanyika ni kujengwa kwa ukuta haraka ambao utatenganisha kisima kilipo na bahari

Asisitiza “Kuanzia sasa anzeni kufanya utaratibu wa kujenga ukuta kwa sababu mtafika mahali mtakosa hata pa kuweka ukuta maji yakishafika, ni vizuri kuanza sasa"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad