AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Eneo hilo ambalo alipita Chief Mbega baada ya kufukuzwa na Wakwavi katika Vita ya Wanguu na Wakwavi hivyo Wakwavi wakashinda na kuanza kuwafukuza Wanguu hususani Chief Mbega walitaka kumuua kutokana na kuwatesa kwa muda mrefu.
DC Kisa anasema katika eneo hilo watu wengi wanashindwa kupavuka “Hili eneo ni dogo sana lakini hapa havuki Mtu, wenyewe Wanakorogwe wanakuambia kuna Wamasai wanne walijaribu kuvuka lakini waliteketea wote”
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK